Duration 8:3

Serikali yatoa ratiba ya mazishi ya Mzee Mkapa

265 watched
0
2
Published 24 Jul 2020

#RIPMKAPA #MZEEMKAPA #MSIBAWAMKAPA #RATIBAYAMSIBA WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa ataagwa Kitaifa Jumanne Julai 28 katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na atazikwa kijijini kwao Lupaso, Masasi mkoani Mtwara Jumatano, Julai 29, 2020.

Category

Show more

Comments - 0